Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu 7M mbona bei chee😋😋😋😋 au unataka ya kutumbua na mama yoyoo msimu huu wa siku juuMake:Toyota Harrier (Old)
Mwaka:2002
Engine:2AZ-FE
Displacement: 2390cc
Registration: DMS
View attachment 2056036View attachment 2056037View attachment 2056038View attachment 2056039View attachment 2056040View attachment 2056041P
Bei mbona sioni mimiMkuu 7M mbona bei chee😋😋😋😋 au unataka ya kutumbua na mama yoyoo msimu huu wa siku juu
[emoji2]Old model unauzaje Ml 32 kaka
[emoji23][emoji23] Hata mm nimeshangaa bei kitonga kabisa, wadau changamkieniOld model unauzaje Ml 32 kaka
Mnaonaje bei nyie..? Kila mtu na bei yake aisee..!mkuu milioni mia kubwa sana,fanya milioni 3
sisi tumepewa kipawa maalumu cha kuingia kichwani mwa mleta postMnaonaje bei nyie..? Kila mtu na bei yake aisee..!
Hata Kama ndo iwe Saba mara mia mara tatu hizi bei zinapanda na kushuka hovyo kama kitu gani sijui duh!sisi tumepewa kipawa maalumu cha kuingia kichwani mwa mleta post
Mkuu nilipost wakati navuka bara bara nikasahau weka bei😅 nauza 15M hio gari!Extrovert nakuheshimugi sana mkuu unafanya nini sasa watoto wanakuja kukuabisha
Sent from kukojuuuwanjawamchang
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu haijafungiwa password?Bei halisi ni 15M