Sokoro waito
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 2,201
- 2,599
Habari ndugu zangu? Mimi ni mwandishi wa vitabu vya tamthiliya na mashairi. Kitabu cha Tamthiliya hii ninayoiuza chaweza tumika kwa mambo yafuatayo: 1.kutengenezea filamu nzuri kwa biashara. 2.kuiandika kwenye magazeti na kuiuza kama hadithi kwa wasomaji, hii itapelekea wasomaji kuifatilia na kuendelea kununua gazeti husika. 3.kusomwa kama kitabu cha ziada au kiada kwenye shule za sekondari au zaidi, na hivyo chapa nyingi kuhitajika ambapo mmiliki atanufaika kwa kuuza hizo chapa. 4. Kwenye blogs zinazouza machapisho kupitia njia ya mtandao. Asilimia 5 ya mauzo atapewa mleta mteja mnunuaji. Tuwasiliane kwa PM or Private message kwa yeyote awezaye kununua au kuniunganisha na wanunuzi. BEI NI MAELEWANO.