Car4Sale Nauza haya magari bila udalali


Mkuu ukishamalizana na tax services nicheki nkuletee mpaka Singida..
Asante.
 
Ukweli ni kwamba unamuharibia mwenzio uzi wake, acha ubishi wa kijinga..... Kafungue uzi wako wa jokes.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli mkuu, hata mimi ninatambua kwamba nina muharibia jamaa biashara yake, kwasababu mimi ninamuonea wivu kwenye hii biashara. Na sababu nyingine ni kwakua sijawahi kumiliki gari zaidi ya baiskeli.
Nadhani umeridhika tafadhali....[emoji57] [emoji57]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…