tax services
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 403
- 328
- Thread starter
-
- #61
Ficha upumbavu wako unachafua nyuzi kuna jukwaa la utaniNahii nauza mkuu...[emoji39] [emoji39] View attachment 812886
Hapo umeona utani upowapi bwege wewe....[emoji16] [emoji16] [emoji16]Ficha upumbavu wako unachafua nyuzi kuna jukwaa la utani
Sasa picha gan hyoo nikitaka unionyeshe hyoo gari utanpeleka tatzo unalala sebuleni kwa shemeji yako unadhan kla mtu ndio hivyoo inuka kapambaneHapo umeona utani upowapi bwege wewe....[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Hasira zako za kukosa vyuma usizilete humu Jf, utakuja kushika na mavi kwa kuchamba kwingi... tehteehhhSasa picha gan hyoo nikitaka unionyeshe hyoo gari utanpeleka tatzo unalala sebuleni kwa shemeji yako unadhan kla mtu ndio hivyoo inuka kapambane
Yaishe nishajua we wa aina gan chukua namba yangu juu uendeleze mipasho yako sawaHasira zako za kukosa vyuma usizilete humu Jf, utakuja kushika na mavi kwa kuchamba kwingi... tehteehhh
Sina mipasho mkuu, bali hivi ndivyo nilivyo.Yaishe nishajua we wa aina gan chukua namba yangu juu uendeleze mipasho yako sawa
Hii chasser haina tatizo?CHASER REFFINE INGINE 4 Price updated
1999
3,000,000
A/C safi kabisa View attachment 809692View attachment 809693View attachment 809694
Aina shida yoyote yakubadlisha tu tairi pia imerudwa rangHii chasser haina tatizo?
Kadanganye watoto humu ni watu wazima.But nauza bei halisi ya mwenye gari anayo itaka
Muulize member mwenzako humu kanunua Noah nyeusi kama amedalalwa na mwengine ana chukua caldina hyoo kesho kwa instalments dalali kama wewe uwez fanya vitu kama hiviKadanganye watoto humu ni watu wazima.
Wisdom( SALUTE ).Sina mipasho mkuu, bali hivi ndivyo nilivyo.
Basi nikuombe tu samahani mkuu wangu wa kazi....[emoji120]
60Kwa ngapi kamanda?
Ntafuatilia kesho mkuuYa mwaka gani? Na imetembea kiromita ngapi kamanda?
Toyota crown athlete
Cc 2990
Mwaka 2005
Bei 13,500,000View attachment 809046View attachment 809047View attachment 809048
acha wivu,mwenzenu kawapiga bao...."Udalali Bila Cha juu inawezekana"Kadanganye watoto humu ni watu wazima.
Ntafuatilia kesho mkuu