Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio vizuri kufanya Masihara kwenye vitu serious.Nahii nauza mkuu...[emoji39] [emoji39] View attachment 812886
Umri umeenda kidogoanayoitaka
Mkuu weka hizo za 2 millions hadi 6 millionsBei ninazo tja hapo chini zinatoka kwa wamiliki wenyewe me sijaongeza chochote kama mtu utahtaji Gari na unaona bei kubwa basi nitakukutanisha na mwenye gari ili muweze kuzungumza wawili na endapo mtafika muafaka basi mnunuaji utanchangia kidogo pamoja na mwenye gari ili maisha yaende
Pia kwa wanaohtaji kuagiza magari nje
Iwe UK ,JAPAN , AMERICA, DUBAI chini ya kampuni makini na wazoefu kabisa mnakarbishwa utaagizwa gar uipendayo kwa muda muafaka kila kitu utalpia mwenyewe kuanzia invoice itakayotoka japan adi ushuhuru wa bandarin.
Pia kama una gari unauza unaweza nichek utaratibu ndio huo huo siongezi bei ya gari naiuza kama mwenye gari unavyotaka Mimi pesa utanipa Wewe mwenye gari ukishauza
Karibuni jina langu naitwa Yohana
Mobile : 0673263071
Location: Kijitonyama View attachment 808955View attachment 808956View attachment 808957View attachment 808959
Toyota Allion
Mwaka 2002
Cc 1700
Bei 8,500,000
Mkuu hii wapelekee watoto wa chekechea wachezee.Nahii nauza mkuu...[emoji39] [emoji39] View attachment 812886
HahahaMkuu hii wapelekee watoto wa chekechea wachezee.
Tunaisubiria mkuuHongera mkuu, kuna yangu nauza hapa, km ntakuanayo mpaka j3 ntakutumia picha.
Nahisi itakua ndo kama hii, lakini jamaa namwelewa ana kautani fulani ila hili jukwaa anaharibu Ushimen.Hahaha
Hii si ndo ile watoto wanacheza pale kwa mzee Salim Madagaa
Sidhani kama hiyo ipo kwa mauzo
Sana tu mkuuNahisi itakua ndo kama hii, lakini jamaa namwelewa ana kautani fulani ila hili jukwaa anaharibu Ushimen.
PoapoaTunaisubiria mkuu
fumbaf sako[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nahii nauza mkuu...[emoji39] [emoji39] View attachment 812886
hapa sawaSina mipasho mkuu, bali hivi ndivyo nilivyo.
Basi nikuombe tu samahani mkuu wangu wa kazi....[emoji120]
shemu nimekuhamu sana, ndg zako wazima huku, habari za muda teleWisdom( SALUTE ).
Kwakua siku yangu nimeianza na sala, ebu ngoja nisikujibu tuSio vizuri kufanya Masihara kwenye vitu serious.
Sawa mkuuMkuu hii wapelekee watoto wa chekechea wachezee.
Una corolla old model ya 3 mill ?Karibu nikuuzie gari yako kwa haraka