Car4Sale Nauza haya magari bila udalali

Car4Sale Nauza haya magari bila udalali

Toyota Spacio
2003
Cc1490
Comprehensive insurance
New tyre
11m
IMG-20181014-WA0054.jpg
IMG-20181014-WA0063.jpg
IMG-20181014-WA0062.jpg
IMG-20181014-WA0058.jpg
IMG-20181014-WA0059.jpg
IMG-20181014-WA0055.jpg
IMG-20181014-WA0064.jpg
 
Bei ninazo tja hapo chini zinatoka kwa wamiliki wenyewe me sijaongeza chochote kama mtu utahtaji Gari na unaona bei kubwa basi nitakukutanisha na mwenye gari ili muweze kuzungumza wawili na endapo mtafika muafaka basi mnunuaji utanchangia kidogo pamoja na mwenye gari ili maisha yaende

Pia kwa wanaohtaji kuagiza magari nje
Iwe UK ,JAPAN , AMERICA, DUBAI chini ya kampuni makini na wazoefu kabisa mnakarbishwa utaagizwa gar uipendayo kwa muda muafaka kila kitu utalpia mwenyewe kuanzia invoice itakayotoka japan adi ushuhuru wa bandarin.

Pia kama una gari unauza unaweza nichek utaratibu ndio huo huo siongezi bei ya gari naiuza kama mwenye gari unavyotaka Mimi pesa utanipa Wewe mwenye gari ukishauza

Karibuni jina langu naitwa Yohana

Mobile : 0673263071
Location: Kijitonyama View attachment 808955View attachment 808956View attachment 808957View attachment 808959

Toyota Allion
Mwaka 2002
Cc 1700
Bei 8,500,000
Nakutabiria maisha makubwa sana maishani mwako. Amini hili nisemalo.
 
Vitz old model
1999
Cc1290
A/C
New tyre
Akina shida yoyote
3.5M
 
Pia kama WATAKA AGIZA GARI au una gari unauza unaweza nichek PM AU KWENYE HIYO NAMBA YANGU CHINI utaratibu ndio huo huo siongezi bei ya gari naiuza kama mwenye gari unavyotaka Mimi pesa utanipa Wewe mwenye gari ukishauza

Call ,whatsApp
0673263071
 
Dah aisee nimeamini kujenga ni kazi kuliko kununua gari. 95% ya gari zinazouzwa hapa gharama zake hazijafikia bei ya vigae tu nilivyotumia kupaulia nyumba yangu
Kweli mkuu, nikilinganisha gharama za ujenzi wa nyumba na hizi bei za magari, duh soon ile car parking yangu niyaitendea haki.
 
Salama mkuu? Hiyo canter tiper bado ipo? Kama ipo weka bei.
 
Back
Top Bottom