mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,922
- 3,618
BEI ZIKO HALALI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera zake dalali msamaria. Ila kasema mwisho wa gameHuyu ni dalali msamaria. Yeye haweki cha juu. Ndio mara ya kwanza nasikia type hii ya dalali.
Hongera mkuu.
Yeye ataljpwa na mwenye magariHuyu ni dalali msamaria. Yeye haweki cha juu. Ndio mara ya kwanza nasikia type hii ya dalali.
Hongera mkuu.
Ushimen Ur respected sir.yatosha mkuuHasira zako za kukosa vyuma usizilete humu Jf, utakuja kushika na mavi kwa kuchamba kwingi... tehteehhh
Samahani kwa popote penye nimekukwaza mkuu, na ninaomba msamaha pia kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa makusudi ama kwa bahati mbaya...[emoji17]Ushimen Ur respected sir.yatosha mkuu
Haina shida mkuu tupo pamojaSamahani kwa popote penye nimekukwaza mkuu, na ninaomba msamaha pia kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa makusudi ama kwa bahati mbaya...[emoji17]
Uone au ununue? Kama picha tu si uende googleKama una Raum tupia picha tuone mkuu
Range Rover vogue
Diesel
Cc 3000
A/c
Ainashida yoyote
Price 4M onlyView attachment 966170View attachment 966171View attachment 966172View attachment 966174View attachment 966175
Ni automatic mzee Piga smumkuu hii gari ni manual au AT
njoo pm tuyajenge.
Imeshatumika sanaMbona magari makubwa kama yanauzwa bei rahisi hivi. Mfano hiyo Vogue hapo juu.
ukinunua gari na hizo msimbazi hapo zinakua zangu?
Yesukinunua gari na hizo msimbazi hapo zinakua zangu?
Huyo mtu wa Raum ana shida mpk auze bei hiyo chief? Au ameigonga tayali? Maana gari haina mwez njiani