Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Sijafuatilia inadaiwa kiasi gani mkuuHilo deni ni sh ngapi boss ?
Na nje ya nchi si ilitumika kama miaka 3 sioSijafuatilia inadaiwa kiasi gani mkuu
Kuna deni?Sijafuatilia inadaiwa kiasi gani mkuu
Sijafuatilia mkuu inadaiwa kiasi gani mkuuHilo deni ni sh ngapi boss ?
Sifahamu imetumika muda gani huko ila simu imenyookaNa nje ya nchi si ilitumika kama miaka 3 sio
Ndio inadaiwa na mtandao wa simu wa US Spectrum huko kwa TrumpKuna deni?
KaribuAll the Best
Kwa hiyo Comrade atakayenunua hiyo simu ananunua na hilo deni, au sijaelewa!!Ndio inadaiwa na mtandao wa simu wa US Spectrum huko kwa Trump
🤣Kwa hiyo Comrade atakayenunua hiyo simu ananunua na hilo deni, au sijaelewa!!
Ndio ananunua na deni japokua sio lazima kulipaKwa hiyo Comrade atakayenunua hiyo simu ananunua na hilo deni, au sijaelewa!!
Deni linalipika tu mkuu na unaweza kutumia bila kulipa deniSasa kwanini unananua simu yenye deni....!!yaani ununue kiwanja chenye mgogoro duuh unakaa roho juu