Phone4Sale Nauza hii simu

Phone4Sale Nauza hii simu

kagombe

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2015
Posts
3,615
Reaction score
1,805
Nauza simu bei poa
Nimu ni Nokia original
Model 1280
Nataka tsh 25000/=
0679 100 690

20220421_192350.jpg

20220421_192358.jpg
 
Kwa nini usiiweke mezani ukaipa na jina "simu ya mezani"
NB hiyo hela upewi braza
Wewe nunu uweke mezani me inaniongezea mzigo tu nina line 2 na zote ziko ktk simu nyingine hii imekaa tu hapa ndani
 
Nikushauri tu.. si kwa ubaya..

Huna ndugu, Rafiki, jamaaa au mtu yoyote unayemjua mwenye uhitaji ukampa hiyo simu Mkuu?
Uko wapi nikuletee kama zawadi ya siku yako ya kuzaliwa teteeheeehtee
 
Aisee kuna mdau anauliza storeji ya hiyo simu reply haraka hela hiyo inakumendea braza
 
Back
Top Bottom