Sajili line ya tatu uongeze nguvu kwenye kulipa kodi,, mbona simpo tuuWewe nunu uweke mezani me inaniongezea mzigo tu nina line 2 na zote ziko ktk simu nyingine hii imekaa tu hapa ndani
[emoji23]Kwa nini usiiweke mezani ukaipa na jina "simu ya mezani"
NB hiyo hela upewi braza
😂[emoji23]
Nikushauri tu.. si kwa ubaya..Mchawi housng tu hapo mkuu na hio housing unayoona ni og mkuu
Wewe sajili line tulijenge taifa fulu sitopuHahaaa matumizi mabaya pesa line 3 za nini nijiongezee gharama za maisha
Duh.!Nauza simu bei poa
Nimu ni nokia original
Model 1280
Nataka tsh 25000/=
0679 100 690
View attachment 2195635
View attachment 2195636
Ahsante Mkuu..Uko wapi nikuletee kama zawadi ya siku yako ya kuzaliwa teteeheeehtee