Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapendwa nauza hisa za NMB ushauri jamani niziuze au niziache lakini hisa zenyewe elfu moja tu gawio kwa mwaka elfu hamsini lipi bora kuziuza kufanya shughuli nyingine au
Kachoki
Wapendwa nauza hisa za NMB ushauri jamani niziuze au niziache lakini hisa zenyewe elfu moja tu gawio kwa mwaka elfu hamsini lipi bora kuziuza kufanya shughuli nyingine au
Kachoki
thamani ya hisa zako ni ipi?
hebu kuwa muwazi
twaweza nunua hizo hisa
Hiyo elfu 50 kwa mwaka ni dividend na haina uhakika, inawezekana mwaka unaofuata ikaongezeka au kupungua. Cha msingi zaidi angalia capital gain; hisa uliinunua sh. ngapi na sasa ina thamani gani. Halafu angalia matarajio, je kampuni inaelekea kukua au kufa? Kwa NMB ningekushauri ukae nazo hisa zako kwa sababu kampuni bado haijafikia plateau.
Kipindi hiki cha sikukuu watu wengi huuza hisa zao. Inadhaniwa kuwa wengi hufanya hivyo kwa malengo ya kupata pesa ya sherehe, kwa hiyo jifanyie self analysis kama kweli unataka kufanya business nyingine au umekuwa caught up kwenye mood ya kula good time mwisho wa mwaka.