Phone4Sale Nauza iPhone 14 Pro Max GB 256

Phone4Sale Nauza iPhone 14 Pro Max GB 256

Yaan I4n siku wakiondoa limitations zao za kiwakiii bas siku ya 2 iko mikononi, ila kwa sasa wabaki nazo tyuuh wenyewe.
 
Kuna tecno na infinix za GB 256 za laki tano, nini special kwa hiyo simu ili tuvutiwe?
Umasikini ni mbaya sana, hizi ndio zile akili zinasema "ukiwa na IST ni sawa tu na mtu mwenye Range kwa sababu wote mtafika mjini"
 
Ni nzito? Kubwa? Hamnipati 😂😂

Labda pawepo na size ndogo, nyepesi like 13 plain, 11 plain, 8 plain., 12 min & 12 pro
14 plain sio kubwa kabisa na sio nzito ni machine hatari kabisaaa
 
Pro sio nzito..tena unakuta ni kadogo dogo kama plain tu.

Pro max mimi naiona ni nzito sana aisee
Mimi ilinipa shida sana, huwezi kuchat nayo mkono mmoja.
Oh mimi nataka kununua pro max napenda simu kubwa eti😀😀
 
Back
Top Bottom