Car4Sale Nauza IST yangu kwa 8.5m,haina dalali

Car4Sale Nauza IST yangu kwa 8.5m,haina dalali

Jemedaree

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2021
Posts
676
Reaction score
2,024
Sina maneno mengi njoo kagua hii lipia cash!
IST, black color,2006,1290cc, DF*,android tv,full ac,no accident!well maintained.

Location: Masaki

e4327ed0-22d7-40fb-89ab-5ced8d2cf5de.jpg
 
Sawa nice one kama mtu anahitaji gari na pesa anayo atakuja kuichukua boss......wewe ndiyo mfanyabiashara sasa.

Washindwe wao.
 
Ongeza picha mkuu...hapo mbele kama imejichubua
 
NOTE [emoji845][emoji845][emoji845][emoji845][emoji845][emoji845]

Hii gari nishauza muda sana wakuu
Mnunuzi alitoka humuhumu mpaka leo tunawasiliana
Chuma iko fresh kabisa hana neno
 
NOTE [emoji845][emoji845][emoji845][emoji845][emoji845][emoji845]

Hii gari nishauza muda sana wakuu
Mnunuzi alitoka humuhumu mpaka leo tunawasiliana
Chuma iko fresh kabisa hana neno
 
Back
Top Bottom