Nauza Jaba la kuhifadhia maji

Nauza Jaba la kuhifadhia maji

Vyuma vimekaza!

Pole Mkuu. Utapata tu mteja.

-Kaveli-
 
Mkuu, kama sababu ya kuliuza ni kupata hiyo pesa, naomba unipe namba yako ya simu pm nikununulie wewe mwenyewe hilo jaba. Ila kama unaliondoa kwa sababu tu hulihitaji ama unahitaji nafasi iliyolikalia, hakuna neno. Sisi wote ni watz na hii ni nchi yetu. Niko serious kabisa.
 
Back
Top Bottom