Nauza Jaba la kuhifadhia maji

Vyuma vimekaza!

Pole Mkuu. Utapata tu mteja.

-Kaveli-
 
Mkuu, kama sababu ya kuliuza ni kupata hiyo pesa, naomba unipe namba yako ya simu pm nikununulie wewe mwenyewe hilo jaba. Ila kama unaliondoa kwa sababu tu hulihitaji ama unahitaji nafasi iliyolikalia, hakuna neno. Sisi wote ni watz na hii ni nchi yetu. Niko serious kabisa.
 
Weka no yako hapa nikurushie hiyo ela mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…