Nauza Jaba la kuhifadhia maji

Nauza Jaba la kuhifadhia maji

Habari wana jamii.
Nauza Jaba la kuhifadhia maji lenye ujazo wa lita 60.
Nilikuwa nahifadhia maji kwa ajili ya matumizi ya ndani kama kunywa,kupikia nk.
Rangi nyeusi
Nimetumia muda mfupi.
Bei ni Tsh4,000
Napatikana Ubungo.
Nichek PM
weka picha
 
Hehehe kwa kweli hii post imenitia uchungu sana babu. Ukiona mtu mzima anauza asset kwa bei ya kutupa ujue vyuma vimekaza kweli kweli.

Aah weye na mie baba, ntakununua wewe, Bia zako na kreti (nikikuchoma mishkaki najua grocery inasimama kabisa).
So kind of you...

Nami nauza bia zangu nne....
 
Aisee sinunuagi hivi vyombo vilivyotumika...hilo jaba waweza kuta lilikuwa linatumika chooni
 
Hehehe kwa kweli hii post imenitia uchungu sana babu. Ukiona mtu mzima anauza asset kwa bei ya kutupa ujue vyuma vimekaza kweli kweli.

Aah weye na mie baba, ntakununua wewe, Bia zako na kreti (nikikuchoma mishkaki najua grocery inasimama kabisa).
Najua unajua kuwa ahadi ni deni....
 
[emoji23] [emoji23] mwanza litafika kuna mdau wangu nataka nimnunulie
 
Hivi wanazuoni albadir inampata mtu anayenunua mali iliyokwibwa sehemu? Maana nina shida na jaba.
 
Back
Top Bottom