nauza kadi ya tcu mpya

Beautifullgirl

Senior Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
100
Reaction score
15
Kwa anaehitaji kadi ya tcu nauza kwa bei ya efu arobaini mimi nilinunua elfu hamsini
 
Ulinunua ya nini au kwa ajiri ya biashara
 
Toa sababu ya wewe kuiuza isije kuwa umempora mwanafunzi wa watu.
 
Nmekosea katita kununua .nilisoma diploma so natakiwa ninunue kwa mpesa sio bank kama nilivonunua hivi
 
Nmekosea katita kununua .nilisoma diploma so natakiwa ninunue kwa mpesa sio bank kama nilivonunua hivi

Kwanini Usimgawie yule Asiyeweza kununua? Kumbuka kuna watu hata hawajui kama watafanya application....... Think Twice
 
Kwanini Usimgawie yule Asiyeweza kununua? Kumbuka kuna watu hata hawajui kama watafanya application....... Think Twice

Sina ndugu yyte anaesoma kwa ss hvo inagua ngumu kugawa kwa watu japo akitokea anaehitaji nitamfikilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…