Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inadaiwa kiasi gani?????mnaulizia bank statement wakati hata bank akaunti kampuni haina !
!:a s-confused1:
<br />Tupe jina la kampuni tuone kama lina worth, isije ikawa ni Massawe LTD
<br />Kwa kweli anahitaji msaada huyu bwana! Hivi anaelewa nini maana ya Limited by Share? Pia anasema 2 Directors lakini anayeuza ni yeye peke yake kwanini asiseme tunauza kampuni?<br />
<br />
Bila vielelezo imekula kwako na ki-kampuni chako uchwara!
Mkuu, Kampuni yako ipo sehemu gani? na kwa sasa hivi mnafanya biashara moja tu ya Stationery? na Kampuni yako inaweza kuwa na thamani gani?Mapema mwaka jana nilisajili kampuni -Limited by Shares kwa ajili ya kutaka kufanya biashara moja hivi ya tender. Lakini bahati mbaya sikuweza kufanikiwa. Sasa nimeamua kuiuza kampuni hiyo kwa mtu anayeihitaji.<br />
- Ina wakurugenzi wawili tu kwa sasa<br />
- Ina TIN number<br />
- Ina leseni ya kuendesha biashara ya stationery, mojawapo ya biashara inazoweza kufanya<br />
<br />
<br />
<br />
USIJALI SANA MASUALA YA BEI TUTAONGEA TU