bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,217
Hello guys,
Nauza kitabu hicho kimeandikwa kwa koswahili kabisa..,njoo inbox (Bei Ni tshs 5000 tu) ujipatie., Na weekend yako iwe mujarabu huku ukijikinga na COVID 19
Pata dondoo kidogo hapo
SEHEMU YA KWANZA
Taharuki kubwa ilitanda
katika uwanja wa ndege wa
kimataifa wa Julius Nyerere
jijini Dar es salaam baada ya
ndege ya shirika la ndege la
Tanzania aina ya Boeing 787
– 8 dream liner, kupata
hitilafu wakati ikijaribu
kutua katika uwanja huo.
Ndege hiyo iliyokuwa
inatokea Afrika Kusini ikiwa
na bairia 218 ndani yake,
ilipata hitilafu baada ya gea
ya kutua kushindwa kufanya kazi
......,..
Nauza kitabu hicho kimeandikwa kwa koswahili kabisa..,njoo inbox (Bei Ni tshs 5000 tu) ujipatie., Na weekend yako iwe mujarabu huku ukijikinga na COVID 19
Pata dondoo kidogo hapo
SEHEMU YA KWANZA
Taharuki kubwa ilitanda
katika uwanja wa ndege wa
kimataifa wa Julius Nyerere
jijini Dar es salaam baada ya
ndege ya shirika la ndege la
Tanzania aina ya Boeing 787
– 8 dream liner, kupata
hitilafu wakati ikijaribu
kutua katika uwanja huo.
Ndege hiyo iliyokuwa
inatokea Afrika Kusini ikiwa
na bairia 218 ndani yake,
ilipata hitilafu baada ya gea
ya kutua kushindwa kufanya kazi
......,..