bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,217
OkayAhsante ila lipia tangazo
Yericho amekufunza utapeliHello guys,
Nauza kitabu hicho kimeandikwa kwa koswahili kabisa..,njoo inbox ujipatie., Na weekend yako iwe mujarabu huku ukijikinga na COVID 19
Itabidi na yeye aanze kujiita "somebody Mkapa"Yericho amekufunza utapeli
USSR
Mkuu ungetupitisha katika dondoo chache ili angalau mtu aweze kupata picha ya jumla iliyopo ndani ya maudhui ya kitabu chako.Hello guys,
Nauza kitabu hicho kimeandikwa kwa koswahili kabisa..,njoo inbox ujipatie., Na weekend yako iwe mujarabu huku ukijikinga na COVID 19
HahahhahahaItabidi na yeye aanze kujiita "somebody Mkapa"
Mwache bro atulieYericho amekufunza utapeli
USSR
Njoo inbox chukua copy yako chapMkuu ungetupitisha katika dondoo chache ili angalau mtu aweze kupata picha ya jumla iliyopo ndani ya maudhui ya kitabu chako.
Mkuu kuja "inbox" kupata nakala ya kitabu chako ni jambo lingine, pia angalau kujua maudhui yake ni jambo lingine pia. Yote ni muhimu na yanategemeana.Njoo inbox chukua copy yako chap
Hutojutia kuhusu maudhui yake...,just come and take itMkuu kuja "inbox" kupata nakala ya kitabu chako ni jambo lingine, pia angalau kujua maudhui yake ni jambo lingine pia. Yote ni muhimu na yanategemeana.