Plot4Sale Nauza kiwanja changu kina hati kipo Kimbiji Puna bei mil 6

Plot4Sale Nauza kiwanja changu kina hati kipo Kimbiji Puna bei mil 6

Kahtan Ahmed

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
765
Reaction score
490
Habari ndugu,
  • Nawatangazia wadau wote kua ninauza kiwanja changu kilipochopo maeneo ya Kigamboni Kimbiji puna
  • Ni meter 150 toka barabara kuu facilities kama maji na umeme tayari vimefika
  • Kiwanja kina ukubwa wa sqm 520
  • Kiwanja kina hati toka ardhi
  • Itapendeza kama biashara hii utawashirikisha uongozi wa jamii forum ili uepukane na utapeli
0762987034

Kiwanja no 140 katika ramani

c8e3c511-cf31-4aeb-87fa-0ee622bc63ea.jpg

Asanteni sana
 
Kimbiji ni umbali gani toka Ferry au Daraja la Nyerere?.
 
3.5M vipi?
Kimbiji ni mbali Sana kutoka citycenter, hata bagamoyo ni Karibu.

Ndugu nauzia shida kwa maeneo haya kupata kiwanja ambacho kina hati kwa bei hii ni ngumu ila nauzia shida kiwanja kinq thamani ya mil 9
 
Dah Yale Yale Puna. Nina kiwanja changu huko ila mpaka nimekisahau. Kule ni distance sana kwa kweli.

Anyway Nauza viwanja 2 vilivyopimwa vipo Kiluvya Dar es Salaam. Bei ni 4m kwa aliye serious ani PM
 
Back
Top Bottom