Plot4Sale Nauza kiwanja ili nipate mtaji

Plot4Sale Nauza kiwanja ili nipate mtaji

Tele

New Member
Joined
Jun 18, 2021
Posts
3
Reaction score
3
Wadau naombeni msaada wenu.

Ninauza kiwanja changu ili niweze kupata Mtaji maana mambo yamenibana sana. Ijapokuwa niliplani kujenga nyumba ila nimekwama na hiyo ploti ndio Inaweza kuninyanyua.

Kiwanja kimepimwa kina sqm 864 na kiko Gezaurole Kigamboni. Kiwanja kina hati hati safi isiyo na deni ardhi.

Kama humu ndani kuna mdau anahitaji kiwanja tuwasiliane au unamjua mtu au ndugu yako mwenye kuhitaji basi tupigiane pande.

Bei yake ni shilingi milioni ishirini na tano (25,000,000/=) ikijumuisha na gharama za mikataba, yaani ukilipa hiyo tu umemaliza hakuna tena o gharama za kuandikishana au mashahidi. Karibuni wadau tuungane mikono.
 
utapata tu mteja, nashauri ni vizuri ungeweka na bei ili mtu awe na makadirio anapojipanga kununua hata kama kutakuwa na mazungumzo
 
Wadau naombeni msaada wenu.

Ninauza kiwanja changu ili niweze kupata Mtaji maana mambo yamenibana sana. Ijapokuwa niliplani kujenga nyumba ila nimekwama na hiyo ploti ndio Inaweza kuninyanyua.

Kiwanja kimepimwa kina sqm 864 na kiko Gezaurole Kigamboni. Kiwanja kina hati hati safi isiyo na deni ardhi.

Kama humu ndani kuna mdau anahitaji kiwanja tuwasiliane au unamjua mtu au ndugu yako mwenye kuhitaji basi tupigiane pande.
Kwahii bei mteja sasa hivi utampata
 
Wadau naombeni msaada wenu.

Ninauza kiwanja changu ili niweze kupata Mtaji maana mambo yamenibana sana. Ijapokuwa niliplani kujenga nyumba ila nimekwama na hiyo ploti ndio Inaweza kuninyanyua.

Kiwanja kimepimwa kina sqm 864 na kiko Gezaurole Kigamboni. Kiwanja kina hati hati safi isiyo na deni ardhi.

Kama humu ndani kuna mdau anahitaji kiwanja tuwasiliane au unamjua mtu au ndugu yako mwenye kuhitaji basi tupigiane pande.

Bei yake ni shilingi milioni ishirini na tano (25,000,000/=) ikijumuisha na gharama za mikataba, yaani ukilipa hiyo tu umemaliza hakuna tena o gharama za kuandikishana au mashahidi. Karibuni wadau tuungane mikono.
Naona umeweka Tangazo lakini number hakuna, Kiwanja kipo block gani hapo Gezaulole?!!..Hati yako ni ya miaka mingapi?...ni tambalale au kule kwenye bwawa la samaki?..kutoka barabara kuu Hadi kwenye Kiwanja ni umbali gani?!!...+255714908121
 
Naona umeweka Tangazo lakini number hakuna, Kiwanja kipo block gani hapo Gezaulole?!!..Hati yako ni ya miaka mingapi?...ni tambalale au kule kwenye bwawa la samaki?..kutoka barabara kuu Hadi kwenye Kiwanja ni umbali gani?!!...+255714908121
Mkuu ni block 23, hati ya miaka 33 eneo zuri tu Mkuu, na ukitaka kupaona napatikana kwa simu na 0655181862.
 
Back
Top Bottom