Nauza kiwanja Mwanza, Shibula, 20x41, miloni 2 laki 3

Nauza kiwanja Mwanza, Shibula, 20x41, miloni 2 laki 3

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Kiwanja kimefanyiwa survey mnunuzi utaenda kuandikisha hati kwa jina lako. Whatsapp 0656388678
 
MKuu Taarifa yako haijitoshelezi!

Kiwanja kipo Mkoa wa Mwanza

Mkoa wa Mwanza wilaya ya..........

Wilaya ya............,Kata ya ............


Mtaa wa ...............

Huduma za kijamii kama;

1.Huduma ya Umeme imefika kiwanja kilipo au bado?
2.Huduma ya maji inapatikana?
3.Vipi kuhusu miundombinu ya Barabara?
4.Vipi mawasiliano ya simu?(Kuna maeneo mengine upatikanaji wa mtandao espeshali internet ni kipengele) Hapo Je Hali ikoje?
5.Eneo ni Kwa ajili ya makazi ya watu?,Isije unakuja kununua eneo ambalo liko kwenye maeneo ya Viwanda,makanisa/misikiti,Starehe (Bars and Lounge) halafu mwisho wa siku ikawa ni kelele mwanzo mwisho!
6.Umbali wa kutoka hapo kilipo kiwanja hadi ilipo Barabara kuu ni kiasi gani?
7.Hapo kilipo kiwanja hadi kufika mjini (Wilayani au Jijini) ni umbali kiasi gani?
8.Eneo lipo Bondeni,Tambarare au mlimani?
9.Eneo ni lako au wewe ni dalali?
10.Je eneo limepimwa tayari Kwa ajili ya makazi na halmashauri ya mji,wilaya au Jiji?,Isije Kuwa eneo lipo barabarani,eneo la wazi,eneo la Jeshi,eneo lililotengwa maalumu na serikali Kwa shughuli maalumu!

Hebu tuondoe Wasiwasi,kama hakuna tatizo nifike na mwanasheria wangu kujipatia hilo eneo!
 
MKuu Taarifa yako haijitoshelezi!

Kiwanja kipo Mkoa wa Mwanza

Mkoa wa Mwanza wilaya ya..........

Wilaya ya............,Kata ya ............


Mtaa wa ...............

Huduma za kijamii kama;

1.Huduma ya Umeme imefika kiwanja kilipo au bado?
2.Huduma ya maji inapatikana?
3.Vipi kuhusu miundombinu ya Barabara?
4.Vipi mawasiliano ya simu?(Kuna maeneo mengine upatikanaji wa mtandao espeshali internet ni kipengele) Hapo Je Hali ikoje?
5.Eneo ni Kwa ajili ya makazi ya watu?,Isije unakuja kununua eneo ambalo liko kwenye maeneo ya Viwanda,makanisa/misikiti,Starehe (Bars and Lounge) halafu mwisho wa siku ikawa ni kelele mwanzo mwisho!
6.Umbali wa kutoka hapo kilipo kiwanja hadi ilipo Barabara kuu ni kiasi gani?
7.Hapo kilipo kiwanja hadi kufika mjini (Wilayani au Jijini) ni umbali kiasi gani?
8.Eneo lipo Bondeni,Tambarare au mlimani?
9.Eneo ni lako au wewe ni dalali?
10.Je eneo limepimwa tayari na halmashauri ya mji,wilaya au Jiji?
Baadhi ya maswali yako tayari yapo kwenye maelezo yangu lakini nitajibu pia yaliyosalia. Asante
 
Unatuvuruga tu asubuhi hii hatuna hela tuna malaki hatuna mamilion kausha kwanza mpk october
 
Hapa bwana,ni pa kua makini.
Msenge mmoja rafiki yangu wa karibu,alinipeleka nikaridhia,1.5m. Nikamchana laki 9. Kesho yake,mpaka leo. Mara kube cha dada,hapa bora nikurudishie hela tu. Kwani ilirudi?
Hapo hapo Shibula,miaka ya nyuma tulinunua kwa laki 3, laki 2, yalikuwa maeneo ya wazawa. Lakini,unakuta kiwanja wameuziwa watu kama 3 hivi.

Kuna mhuni mmoja huko,anaitwa Privatus Rwegasira.
Nae nikamuuzia, mpaka leo laki 5 aliidhulumu. Miaka 10 sasa. Na mpaka leo,havijapimwa wala nini,ni upimaji shirikishi tu.

Japo amesahau kuwambia ni mlimani,mawe mengi kinoma,ukiwa na usafiri wako siyo rahisi kufika. Nilichosikia badae,ni kwamba barabara na umeme vimepita,maji uhakika sina. Ila sasa,unakuta nguzo zipo chini,huko mlimani bado sola.

Kama anajiamini,atoe namba,ntawapeni koneksheni,anaehitaji akifika kwanza ajiridhishe.
 

Attachments

  • Screenshot_20240910_101933_Chrome.jpg
    Screenshot_20240910_101933_Chrome.jpg
    572.9 KB · Views: 4
Shibula sehemu ipi maana kuna baadhi ya mitaa kuna mgogoro na uwanja wa ndege
Mgogoro huo upo Bulyan'hulu mkuu,chini ya barabara ya kwenda Igombe. Kumbe mpaka leo!!!! Hiho issue ya miaka ya 2012. Upande wa juu,shida ilikuwa mtu akija na hela ndefu,kiwanja kinauzwa tena,na dokument kwa mwenyekiti zinaandikwa. Mi nilijinunulia mlimani kabisa, nikaweka na fensi,badae nikauza
 
Mleta mada kaingia mitini,hajataka kujibu maswali yangu hapo juu!

HAPA SIYO MAHALI PA KUKURUPUKA KULETA HOJA UKASHINDWA KUITOLEA MAJIBU,HOJA AMBAZO HAZIHITAJI MAJIBU PELEKENI HUKO USO WA KITABU
Huyo atakua dalali tu.
 
Back
Top Bottom