Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Korosho safi za korosho?Mjasiliamali yoyote anayetaka korosho safi kubwakubwa ziliobanguliwa safi mimi ninaziuza kwa bei rafiki ya 18000 nipo masasi mtwara pm me plz.
Nimekosea mamaeh kufuta nimechemkaKorosho safi za korosho?
UnazitakaWeka picha
Hio na nauliUnazitaka
fahari ya macho haifilisi duka.Unazitaka
Weka pi
Uli-review heading kabla ya kupandisha kweli dah usenge.
Upo wap? Nijuwe namna yakufanyaHio na nauli
Haaaaafahari ya macho haifilisi duka.
Mimi ningehitaji but mfuko sioUpo wap? Nijuwe namna yakufanya
Poa sasa nipe namba basi.Mimi ninazo zikiisha nitakwambia
View attachment 3270498
Zakuoka yaani ninazo mbichi kama tani na nusu so mtu akizitaka nazioka fastaHizi za kuoka au za kukaanga
Si upo hapa hapa jf nitakutafutaPoa sasa nipe namba basi.
Sasa mm Niko masasi mtwara na ubungo plaza wapi na wapi kaka.Sajili business name, piga picha nzuri za sample , za korosho yako kulingana na grade , andaa business profile na uwezo wako WA kuuza ni kuanzia kilo ngapi, nenda jjsajili bodi ya mazao mchanganyiko wako pale ubungo plaza kwa nyuma, register biashara yako kwenye platform mbalimbali kama Globy(B2B) , export hub, African Food Changemaker, na platform nyingine ambapo huko sio lazima uwe na kampuni huko utapata wateja wanaohitaji mtu akipenda atakutumia quotation sasa wewe ndio utachuja Nani ufanye nae biashara , mambo yakaisha adilika kitambo usikae kwa kukariri masoko ya ndani Tu , lakini uwe makini huko pia watu wanapigwa unaweza kutuma mzigo ukachelewa kufika ukakuta supplier mwingine ashapeleka, au mzigo unafika unaambiwa ubora sio hizo ni baadhi ya changamoto