Berryblack
Member
- Oct 3, 2022
- 53
- 64
uko wapiWakuu
Kama muonavyo kwenye picha, hawa ni baadhi ya Kuku ambao nauza.
Kuku wapo Dar es Salaam, Mbweni JKT kwa mawasiliano 0612630936 … bei n elfu kumi kamili ndo wana miezi mitatu na siku 24.
uko wapi
Wa mbaoWa nyama au.
Dar mbweni jktuko wapi
Unapatikana wapDelivery vp??
Ongea na mahoteli pia mda mwingine ,kuku hao hao ndo wanachinjwaWakuu
Kama muonavyo kwenye picha, hawa ni baadhi ya Kuku ambao nauza.
Kuku wapo Dar es Salaam, Mbweni JKT kwa mawasiliano 0612630936 … bei n elfu kumi kamili ndo wana miezi mitatu na siku 24.
Hivi watanzania huwa hamsomi maelezo? Kasema alipo, mtu anamuuliza uko wapi? Dah unajua hata unachotaka kwake kweli? Namba ipo, ipigie. Naona hata wafanyabiashara, huwa wanalalamika mtu anaweka namba kwa maandishi makubwa sana, ila anaulizwa namba iko wapi!!!
Agiza Coke baRidi
Kuku wa mchichaWa nyama au.
Sasa Mkuu si ukanunue utumbo tu, kuku waachie wenye uwezo.Chukua kwa elfu 6.
Mbona wapo 20 tuWakuu
Kama muonavyo kwenye picha, hawa ni baadhi ya Kuku ambao nauza.
Kuku wapo Dar es Salaam, Mbweni JKT kwa mawasiliano 0612630936 … bei n elfu kumi kamili ndo wana miezi mitatu na siku 24.
Kuna kuku wa mayai na nyama ndio maana nimeuliza. Sasa kama sio muhusika hukutakiwa Kujibu kwa namna hiiWa mbao
Sasa mkuu ilikua ngumu sababu ya aina ya ufugaji n wa Banda huru yaan wanatoka day time usiku ndo wanazama ndanMbona wapo 20 tu
Kwa sasa n nyama tu mayai bado kidogo labda kama utataka sababu matetea Pia yapo ya kutoshaKuna kuku wa mayai na nyama ndio maana nimeuliza. Sasa kama sio muhusika hukutakiwa Kujibu kwa namna hii