Nauza Kuku chotara, ni Tetea kwa bei ya TSh 10,000 wapo 145

Nauza Kuku chotara, ni Tetea kwa bei ya TSh 10,000 wapo 145

Berryblack

Member
Joined
Oct 3, 2022
Posts
53
Reaction score
64
Wakuu

Kama muonavyo kwenye picha, hawa ni baadhi ya Kuku ambao nauza.
Kuku wapo Dar es Salaam, Mbweni JKT kwa mawasiliano 0612630936 … bei n elfu kumi kamili ndo wana miezi mitatu na siku 24.

6744C04D-7BDA-4C9D-98D0-0F2302ACDCB4.jpeg
 
Hivi watanzania huwa hamsomi maelezo? Kasema alipo, mtu anamuuliza uko wapi? Dah unajua hata unachotaka kwake kweli? Namba ipo, ipigie. Naona hata wafanyabiashara, huwa wanalalamika mtu anaweka namba kwa maandishi makubwa sana, ila anaulizwa namba iko wapi!!!
 
Hivi watanzania huwa hamsomi maelezo? Kasema alipo, mtu anamuuliza uko wapi? Dah unajua hata unachotaka kwake kweli? Namba ipo, ipigie. Naona hata wafanyabiashara, huwa wanalalamika mtu anaweka namba kwa maandishi makubwa sana, ila anaulizwa namba iko wapi!!!

Agiza Coke baRidi
 
Back
Top Bottom