Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako wengi sana bossWanafika watatu?
Weka picha ya hao kuku
Sema sijawapiga picha vzur bossWeka picha ya hao kuku
Inapatikana kabsa ndugu bila tatizoSafi sana ila kwenye namba ukipiga hiyo namba bila kuanza na +255 haitapatikana..
Dodoma mjiniMkuu dodoma kubwa ungesema specific dodoma ipi
Niungishe ndugu nipe na connection yakuuza zaidiKweli bei ni nzuri kabisa
Mbona umewateka?Nauza kuku wa kienyeji kwa 14000 niko dodoma kwa oda tuwasiliane 0613929286 karibuni sana.
View attachment 3258879
Nimewatekaje mkuuMbona umewateka?
Usharudi dubei nikuletee ile jezi yako ya Yanga na kuku wa dom wa3?Kweli bei ni nzuri kabisa
Peleka Arusha utauza kuku wapo bei nzuri kwa muuzaji sijajua usafiri kama watafika wote peleka Soko Kuu Arusha karibu na Bank ya NMB.Niungishe ndugu nipe na connection yakuuza zaidi
Usharudi dubei nikuletee ile jezi yako ya Yanga na kuku wa dom wa3?
Asante kaka natamani ningepata mteja kabsa ingekua unyamaPeleka Arusha utauza kuku wapo bei nzuri kwa muuzaji sijajua usafiri kama watafika wote peleka Soko Kuu Arusha karibu na Bank ya NMB.
Arusha watu wanakula sana kuku wa Kienyeji iwe Jogoo au mate tea na huko mnadani kuku wapo juu kidogo kama una kuku wazuri hapo ndio soko lilipo..Asante kaka natamani ningepata mteja kabsa ingekua unyama