Nauza kwale pia mayai ya kwale

Nauza kwale pia mayai ya kwale

ket

Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
13
Reaction score
1
Kware anaetaga 15000 tray ya mayai kwale 25000. Nitafute kwa 0713878737
 
0713878737
huyu mdada nimempigia simu naona anaweweseka tu!!
sasa hujiamini au
 
We marire tuheshimiane. Lambda Kama umewrweseka mwenyewe ukipiga simu. Acha kuharibia watu biashara. Kama kware unahitaji au mayai sema acha longo longo
 
Nilisikia hizi ni nyara za serikali?

Hawa ni the same na Kanga huwezi wabeba kwenye basi na ukifika kituo cha ukaguzi ni kuomba mungu usionekane. Huawezi wafanya katika kiwango kikubwa na kuna tatizo kubwa sana kwa hawa Kware na hii inatokana na kilichop tokea Kenya.
 
mdau unafanya ujasiria-mali na nyara za "sirikale", mi labda kama una mayai ya mbuni au watoto wa swala
 
Back
Top Bottom