Mama Nehemiah
JF-Expert Member
- Sep 9, 2018
- 244
- 439
Gb 500Hard Disk ina GB ngapi?
Kocha wako yuko busy kutumia pesa kama hana akili wewe uko hapa na ubahili wako unasumbua watuNjoo uchukue 200k saizi ipo mfukon
Hahaaa tunatafuta striker ,ili tukikaa pale juu ,basi hadi may EPL imeshatua etihad ,kwa sasa wacha hao wengine wapeane zamu kukaa top of the tableKocha wako yuko busy kutumia pesa kama hana akili wewe uko hapa na ubahili wako unasumbua watu
Ila Grealish kama vile hajajua kuendana na beat. Kwa Kane itakuaje?Hahaaa tunatafuta striker ,ili tukikaa pale juu ,basi hadi may EPL imeshatua etihad ,kwa sasa wacha hao wengine wapeane zamu kukaa top of the table
Grealish tumpe muda kwanza ,kane tunapeleka offer nyingine ,ile ya kwanza spurs wamekataaIla Grealish kama vile hajajua kuendana na beat. Kwa Kane itakuaje?
Mchukueni Vardy
Mmevamia uzi wa watuGrealish tumpe muda kwanza ,kane tunapeleka offer nyingine ,ile ya kwanza spurs wamekataa
Uko mkoa gani?Habari.
Nauza Laptop dell ;
Hii laptop haijui mkono wa fundi na muda wote nimeitumia peke yangu kwa kifupi imetuzwa.Naiuza sababu nimepata dharura nahitaji pesa ya haraka.
-Processor Intel( R)I 3-2365cpu 1.40Ghz
-Ram 4 Gb
-64 bit
Tsh 350,000
Mawasiliano 0767 121272
View attachment 1897810View attachment 1897811