Delacruzito
Senior Member
- Aug 5, 2019
- 123
- 141
Ila vijana🙌Naona bei tunajipangia au sio mkuu..?
Nimesharekebisha mkuuNaona bei tunajipangia au sio mkuu..?
usirudie siku nyengine!.Nimesharekebisha mkuu
Bro upo Banana sehemu gani nije na kipengele changu kama we huna??Wakuu nauza laptop aina ya Hp Pro Book, Yenye Ram 8GB, Hdd 500gb. Battery 4hrs. Haina kipengele chochote sema tu nauza kwasababu nina shida ya haraka. Napatikana -Banana-Dar Es Salaam Mawasiliano yangu ni 0628116693
Price 380,000
Kipengele chako ni nini kaka?Bro upo Banana sehemu gani nije na kipengele changu kama we huna??
350k
Sawausirudie siku nyengine!.
Bro fika 300k net tukutane Riverside hapoNjoo uchukue 200,
Niko mwenge.
Kipengele changu ni hela kakaKipengele chako ni nini kaka?
ProcessorWakuu nauza laptop aina ya Hp Pro Book, Yenye Ram 8GB, Hdd 500gb. Battery 4hrs. Haina kipengele chochote sema tu nauza kwasababu nina shida ya haraka. Napatikana -Banana-Dar Es Salaam Mawasiliano yangu ni 0628116693
Price 380,000