INAUZWA Nauza machine ya Ice Cream (Popsicle machine)

INAUZWA Nauza machine ya Ice Cream (Popsicle machine)

Rangoo14

Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
50
Reaction score
116
Habari wanazengo,

Ninauza machine ya ice cream ikiwa bado mpya (haijatumika sana ni miez 2), inauwezo wa kuzalisha ice cream elfu 6 kwa siku.

Utapata mould zake 2 na ukihitaji maji yake ya kugandishia yanayosaidia machine isipate kutu pia yapo.

Kwa mwenye uhitaji anicheck PM
Bei ni maelewano
N.B: Serious business

IMG_20200713_173230.jpeg
IMG_20200713_173149.jpeg
IMG_20200713_173136.jpeg
IMG_20200713_173209.jpeg
 
Bei gani kiongozi ,nahitaji hii...
 
Back
Top Bottom