Kareem makame
New Member
- Oct 5, 2021
- 1
- 1
Habari wakuu nina tani 9 za magazeti kutoka korea nauza kwa kg1 ni 1800 location ni Mnazi Mmoja Dar es salaam namba ya simu 0769115998 kwa maelezo zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini 1800 na si 1200? Mkoani tuuzeje sasaHabari wakuu nina tan 9 za magazeti kutoka korea nauzw kwa kg1 ni 1800 location ni mnazi mmoja Dar es salaam namba ya simu 0769115998 kwa maelezo zaidi
Je kama kapewa kama zawadiYaani tunaimport hadi magaazeti toka korea? kuna vitu vingi vya kuagiza korea na si magaazeti
Huo mzigo wote ukiisha ni million 16.2Habari wakuu nina tan 9 za magazeti kutoka korea nauzw kwa kg1 ni 1800 location ni mnazi mmoja Dar es salaam namba ya simu 0769115998 kwa maelezo zaidi
Huo mzigo wote ukiisha ni million 16.2
Usidharau biashara aisee..!![emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Kwahio tukate miti, tuharibu mazingira tuchapishe magazeti kwa lugha ya Kikorea na Story za Korea ili mradi tu tusiagize kutoka Korea ?Yaani tunaimport hadi magaazeti toka korea? kuna vitu vingi vya kuagiza korea na si magaazeti