Nauza magazeti kutoka korea

Nauza magazeti kutoka korea

Kareem makame

New Member
Joined
Oct 5, 2021
Posts
1
Reaction score
1
Habari wakuu nina tani 9 za magazeti kutoka korea nauza kwa kg1 ni 1800 location ni Mnazi Mmoja Dar es salaam namba ya simu 0769115998 kwa maelezo zaidi
 
Mzigo wa Tani tisa za magazeti siyo poa!
 
Yaani tunaimport hadi magaazeti toka korea? kuna vitu vingi vya kuagiza korea na si magaazeti
Kwahio tukate miti, tuharibu mazingira tuchapishe magazeti kwa lugha ya Kikorea na Story za Korea ili mradi tu tusiagize kutoka Korea ?

“It is the maxim of every prudent master of a family, never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy.
 
Back
Top Bottom