Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gunia la Debe 6 Nauza Sh. 150,000/=. Na kwa kilo nauza sh. 1,500. Karibu sana MkuuMkuu unakula ngp
Mzee mazao yanauzwa kwa vipimo vya kisayansi, debe maana yake nini. Fafanua
Yapo maeneo gani mkuu kama vipi tupia sample nioneGunia la Debe 6 Nauza Sh. 150,000/=. Na kwa kilo nauza sh. 1,500. Karibu sana Mkuu
Yapo Mianzini Mkuu. Pia nimeweka namba hapo juu, nipigie nikutumie kwenye whatsapp Mkuu. ThanksYapo maeneo gani mkuu kama vipi tupia sample nione
Wanunuzi wengine wanataka vipimo vya giza, ukipima kilo tu anahisi kupotezaMzee mazao yanauzwa kwa vipimo vya kisayansi, debe maana yake nini. Fafanua
Karibu MkuuKila la heri
Weka picha mkuu, kuliko kujaza mavidoti.......
Gunia la Debe 6 Nauza Sh. 150,000/=. Na kwa kilo nauza sh. 1,500. Karibu sana MkuuWeka picha mkuu, kuliko kujaza mavidoti
Picha mkuu kwa faida yakoGunia la Debe 6 Nauza Sh. 150,000/=. Na kwa kilo nauza sh. 1,500. Karibu sana Mkuu
Nashindwa kui-upload mkuu ila nimeweka namba hapo juu, naweza kukutumia kwa whatsapp mkuu wangu. AsantePicha mkuu kwa faida yako
Kwann na tangazo usingepeleka huko WhatsApp?!Yapo Mianzini Mkuu. Pia nimeweka namba hapo juu, nipigie nikutumie kwenye whatsapp Mkuu. Thanks