pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
- Thread starter
- #41
Karibuni mzigo umekuja mwingine kwa waliokosa Awamu ya kwanza karibuni zimerudi.anzisha mradi wako sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu bado zipo mashine?Ninauza mashine za kusaga siagi ya karanga yaani kwa wale wanaotaka kuanzisha biashara ndogo ya uuzaji wa Penuty butter karibuni niwauzie mashine.
Sifa za mashine
Inasaga kwa kutumia nishati ya umeme
Ina watts 750
Ina uwezo wa kusaga gm 350 kwa wakati mmoja
Inasaga na nuts nyingine Kama korosho no
Waweza kuanzisha biashara ya kuuza Penuty butter kwa kwenda sido na kununua vifungashio
Tafuta disgner akutengenezee logo ya biashara
Fungasha sambaza kwenye maduka uza kwa ndugu marafiki wengine hususani ukanda wa ziwa hutumia siagi ya karanga Kama kiungio Cha mboga mbadala wa Nazi
Tunapatikana Ukonga DSM na Mwanza Nyegezi
Bei ni sh 120,000 tu
WhatsApp me 0763772636
View attachment 1566801View attachment 1566812
Mkuu bado zipo mashine?
Siagi, halafu inatokana na karanga? Kiswahili kigumu sana.
Penuty butter kwa kiswahili Ni Nini boss? Sisi tuliosoma enzi za kidumu na mfagio tunajua Kama Siagi ya karanga wewe uliyesoma kwa school busy waweza kutusaidia tukajua sote Ni watoto wa baba mmoja.
ndio nini kuandika na kujijibu peke yako bei ikifika 70K Nicheki nikuchangie
Zinspatikana wapi?
Ndio boss karibu 0763772636Mosquito lamb killer ipo?