T tabu kuishi JF-Expert Member Joined Apr 16, 2011 Posts 353 Reaction score 43 Feb 24, 2012 #1 Nina mashudu ya alizeti tani 20 nauza yapo mkoani, ukihitaji nakuleteya popote ulipo, kwa mwenye kuhitaji ani sms 0712976729
Nina mashudu ya alizeti tani 20 nauza yapo mkoani, ukihitaji nakuleteya popote ulipo, kwa mwenye kuhitaji ani sms 0712976729
F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 34,181 Reaction score 41,563 Feb 24, 2012 #2 wilshere said: Nina mashudu ya alizeti tani 20 nauza yapo mkoani, ukihitaji nakuleteya popote ulipo, kwa mwenye kuhitaji ani sms 0712976729 Click to expand... mi nitachukua yote ila bei yangu ni 300 kwa kilo pia una deliver kigamboni. kwa kilo. kama unataka confirm. ni ya singida, Moshi au Mbeya -- pia confirm.
wilshere said: Nina mashudu ya alizeti tani 20 nauza yapo mkoani, ukihitaji nakuleteya popote ulipo, kwa mwenye kuhitaji ani sms 0712976729 Click to expand... mi nitachukua yote ila bei yangu ni 300 kwa kilo pia una deliver kigamboni. kwa kilo. kama unataka confirm. ni ya singida, Moshi au Mbeya -- pia confirm.
T tabu kuishi JF-Expert Member Joined Apr 16, 2011 Posts 353 Reaction score 43 Feb 24, 2012 Thread starter #3 FUSO said: mi nitachukua yote ila bei yangu ni 300 kwa kilo pia una deliver kigamboni. kwa kilo. kama unataka confirm. ni ya singida, Moshi au Mbeya -- pia confirm. Click to expand... ni ya KITETO mkuu fanya 350 piya malipo ni cash,
FUSO said: mi nitachukua yote ila bei yangu ni 300 kwa kilo pia una deliver kigamboni. kwa kilo. kama unataka confirm. ni ya singida, Moshi au Mbeya -- pia confirm. Click to expand... ni ya KITETO mkuu fanya 350 piya malipo ni cash,