Nauza mashudu ya alizeti

tabu kuishi

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
353
Reaction score
43
Nina mashudu ya alizeti tani 20 nauza yapo mkoani, ukihitaji nakuleteya popote ulipo, kwa mwenye kuhitaji ani sms 0712976729
 
Nina mashudu ya alizeti tani 20 nauza yapo mkoani, ukihitaji nakuleteya popote ulipo, kwa mwenye kuhitaji ani sms 0712976729
mi nitachukua yote ila bei yangu ni 300 kwa kilo pia una deliver kigamboni. kwa kilo. kama unataka confirm.

ni ya singida, Moshi au Mbeya -- pia confirm.
 
mi nitachukua yote ila bei yangu ni 300 kwa kilo pia una deliver kigamboni. kwa kilo. kama unataka confirm.

ni ya singida, Moshi au Mbeya -- pia confirm.

ni ya KITETO mkuu fanya 350 piya malipo ni cash,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…