kwani anauza Banda au MbwaHlo banda tu haliendan na bei
Sasa na ww mazingra hayaendan na bei nn ambacho hujaelewa hpo mdogo wangukwani anauza Banda au Mbwa
sasa kasema mbwa wanauzwa hajasema mbwa na banda linauzwa, pa kuwapeleka kazi ya mtejaZero brain mwingne tena na ww mazingra hayaendan na bei nn ambacho hujaelewa hpo mdogo wangu au naww ni ******
Bdo hujaelewa tuwe ndio zezeta sasa kasema mbwa wanauzwa hajasema mbwa na banda linauzwa, pa kuwapeleka kazi ya mteja
Wewe ndio urudishwe shule yeye ametaja bei kutokana na aina ya mbwa na sio mazingira mteja hauziwi mazingira bali mbwaBdo hujaelewa tu
Rud shule kwan ulimalza dada Tamama
Wakizaa naomba unipe kamojaNiletee wanne, niko Iringa..
ahahahaha labda mbwa wa nyama,bado kulipiwa kodi,usawa huu wa magu utoe laki 4 unanunua mbwa lazima utumbuliweLaki 4 unapata mbuzi 4
Nikienda shamba vigwaza napata mbuzi mmoja kwa 45000 hadi 35000 tu.hawa mbwa wana nn cha ziada aisee tuelimishaneLaki 4 unapata mbuzi 4