maulana majaliwa
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 261
- 141
Una mbwa koko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
400,000×4= ?? mbwaaaa?Niletee wanne, niko Iringa..
Kaka iringa ni kitoweo na c kama mfugo400,000×4= ?? mbwaaaa?
kweli tuna wasindikiza mnao ishi
Kwa iyo ukifanya biashara ya dhahabu chooni huwa thamani inapungua,au ukiokota dhahabu katika chemba ya mavi huwa inashuka thamani au??just look a product en not where product is kept,,,labda mazingira yawe yanaiathir bidhaa au mteja.Sasa na ww mazingra hayaendan na bei nn ambacho hujaelewa hpo mdogo wangu
We unachukulia poa gharama za kuwanywesha uji wa ulezi na maziwa pamoja na matunda tangu wakiwa wadogo!Salaam wadau...nauza mbwa (puppies) aina ya Spitz Terrier,ni madume na sasa wana wiki 6.Nauza laki 4 kila 1.Kwa mawasiliano zaidi 0689900000. Karibuni
Jaman mie napenda kuelimishwa. Gharama ya kitu chochote hutegemea na investment pamoja na ile profit margin yake. Hiv hii biashara ya mbwa hapa mjini, ughali wake unatokana na nini hasa? Ni kitu gani ambacho mtu hugharamika saana mpaka bei za hao mbwa ziwe kubwa kiasi hicho??
Eti ni kwasababu n wakizungu...[emoji2] [emoji2] [emoji2] wabongo shobo zinatumalizaSalaam wadau...nauza mbwa (puppies) aina ya Spitz Terrier,ni madume na sasa wana wiki 6.Nauza laki 4 kila 1.Kwa mawasiliano zaidi 0689900000. Karibuni
Jaman mie napenda kuelimishwa. Gharama ya kitu chochote hutegemea na investment pamoja na ile profit margin yake. Hiv hii biashara ya mbwa hapa mjini, ughali wake unatokana na nini hasa? Ni kitu gani ambacho mtu hugharamika saana mpaka bei za hao mbwa ziwe kubwa kiasi hicho??
Kwetu uwa haizidi buku tatuUsawa huu laki nne mkuu hao kunasehemu wanauza elfu 40 hadi 30 ila biashara njema mkuu all the best
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji23] wanakula matunda gn hao?We unachukulia poa gharama za kuwanywesha uji wa ulezi na maziwa pamoja na matunda tangu wakiwa wadogo!
Ila watu mna visa ,wanakula matunda gani aisee strawberries na blueberries au ?? Mbwa ana gharama zake sio masiharaWe unachukulia poa gharama za kuwanywesha uji wa ulezi na maziwa pamoja na matunda tangu wakiwa wadogo!
Treatment ya hao mbwa ni expensive mkuu ,, chanjo , dawa za hapa na pale , chakula kizuri , mda wa ku wapa care , na ukiajiri mtu kwa kazi hiyo ndo gharama inakuwa kubwa zaidi ... Kwa kifupi production yake ni gharama kuliko simu za tecnoWe unachukulia poa gharama za kuwanywesha uji wa ulezi na maziwa pamoja na matunda tangu wakiwa wadogo!
Pamoja na uji au sijui vitu gan, hizo bei mna inflate kupita kiasi. Nadhan ni kuiga zaid maisha ya wazungu kuliko uhalisia. Anyway wauzie wenye uhitaji nilikuwa napenda tu kuelimishwa na wala sina nia ya kumkatisha tamaa mtu.
Hahaha uje wa ulezi na matunda kweli hawa mbwa ni specialWe unachukulia poa gharama za kuwanywesha uji wa ulezi na maziwa pamoja na matunda tangu wakiwa wadogo!
kweli atuwekee picha ya mama yao, inaonekana ni majibwa makubwa, safi sana.Ok!! Duuu sory mkuu inaonyesha bonge la jiba!!!ebu mrushie mama yao akiwa peke ake mzima mzima!!!