K Kifulu JF-Expert Member Joined May 16, 2021 Posts 557 Reaction score 2,064 Oct 29, 2024 #1 Habari wakuu, nauza mfumo wa gas kwenye bajaj bei ni laki mbili.. Ila bado una deni la laki Saba na hamsini utaenda kumalizia mkopo wako. Mazungumzo yapo Wahi sasa
Habari wakuu, nauza mfumo wa gas kwenye bajaj bei ni laki mbili.. Ila bado una deni la laki Saba na hamsini utaenda kumalizia mkopo wako. Mazungumzo yapo Wahi sasa
Makorokoro Bondeni JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 1,300 Reaction score 1,969 Oct 29, 2024 #2 Ebwana huo Mtungi ndipo unapokaa hapo chini ya siti?Sema hiyo gesi siyo hatarishi kweli?Ukibasti hapo ni kinyesi tu.
Ebwana huo Mtungi ndipo unapokaa hapo chini ya siti?Sema hiyo gesi siyo hatarishi kweli?Ukibasti hapo ni kinyesi tu.
Joselela JF-Expert Member Joined Jan 24, 2017 Posts 6,109 Reaction score 8,080 Oct 29, 2024 #3 Technologies za kibongo risks ni 83% faida ni 17%. Kila la kheri ni affordable source with highest risk.
Technologies za kibongo risks ni 83% faida ni 17%. Kila la kheri ni affordable source with highest risk.
M mfalme2017 New Member Joined Oct 12, 2018 Posts 2 Reaction score 1 Dec 12, 2024 #4 Kitonga, hebu Tia mawasiliano yako ili nione Kama tunaweza kufanya biashara ya huo mfumo wa gesi