Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya kienyeji naweza anza kuvuna baada ya muda gani?Chotara(ya kisasa)-9000/= , ya kienyeji-7000/= karibu boss 0683017311
Hiyo nazi ni ya kisasa au kienyeji?
Ya kienyeji ni kuanzia miaka 6-8, ya kisasa miaka 4-5Hii ya kienyeji naweza anza kuvuna baada ya muda gani?
Ni ya kisasa boss wanguHiyo nazi ni ya kisasa au kienyeji?
Uko sahihi boss wangu👍Natamani niwe na shamba la matunda tupu Siku Moja
Yaani hata watoto wavivu wa shamba utakuwa wanatamani kwenda kutokana na matunda yaliyopo
Nitakuja tufanye biashara Siku Moja, ngoja tupate mashamba mazuriUko sahihi boss wangu👍
Ntahitaji kisasa 5 na kienyeji tano, pia kwa ardhi ya chanika ambayo ni kichanga sana matunda gani yanastawi?Ya kienyeji ni kuanzia miaka 6-8, ya kisasa miaka 4-5
Haina shida boss wangu,karibuNitakuja tufanye biashara Siku Moja, ngoja tupate mashamba mazuri
Ntahitaji kisasa 5 na kienyeji tano, pia kwa ardhi ya chanika ambayo ni kichanga sana matunda gani yanastawi
Kwa ardhi ya kichanga, embe,chungwa,Pera nk.zinastawi vizuri, tuwasiliane Kwa namba 0683017311 call & whatsappNtahitaji kisasa 5 na kienyeji tano, pia kwa ardhi ya chanika ambayo ni kichanga sana matunda gani yanastawi?
Shukrani boss 🙏Haina shida boss wangu,karibu
Peaches na apples zinaweza kuota Moshi?Ni ya kisasa boss wangu