Upo mkoa ganHabari zenu wapiganaji, nina kibali cha kuandaa Mkaa kutoka shambani kwangu gunia 700, mm naziuza kwa kila gunia shilingi 10,000 kutokea shambani. Gharama za usafirishaji ni juu yako pamoja na tozo ya TFS. Vibali vyote ninavyo. Anayehitaji aje Inbox tuongee. Njoo na Gunia zako upime mwenyewe, lori linafika hadi pori na miti ni ya asili yenye mkaa mzuri.
Karibuni
Mkuu mbona nakuuliza nawe unarudia swali?Upo mkoa gan
Ujazo gani?Habari zenu wapiganaji, nina kibali cha kuandaa Mkaa kutoka shambani kwangu gunia 700, mm naziuza kwa kila gunia shilingi 10,000 kutokea shambani. Gharama za usafirishaji ni juu yako pamoja na tozo ya TFS. Vibali vyote ninavyo. Anayehitaji aje Inbox tuongee. Njoo na Gunia zako upime mwenyewe, lori linafika hadi pori na miti ni ya asili yenye mkaa mzuri.
Karibuni
Gunia la ujazo wa kg 100 au debe 7Ujazo gani?
Umeulizwa unapatikana mkoa gani na wilaya pia naongezeaGunia la ujazo wa kg 100 au debe 7
Katavi- Mlele(Inyonga town)Umeulizwa unapatikana mkoa gani na wilaya pia naongezea
Gunia moja la mkaa ni elfu 10? Uko mkoa gani wa Tanzania?Habari zenu wapiganaji, nina kibali cha kuandaa Mkaa kutoka shambani kwangu gunia 700, mm naziuza kwa kila gunia shilingi 10,000 kutokea shambani. Gharama za usafirishaji ni juu yako pamoja na tozo ya TFS. Vibali vyote ninavyo. Anayehitaji aje Inbox tuongee. Njoo na Gunia zako upime mwenyewe, lori linafika hadi pori na miti ni ya asili yenye mkaa mzuri.
Karibuni
10,000+12500 ya TFs +gharama ya upakiaji + gharama za kujaza kama halijajazwa + gharama ya viroba +gharama ya upakiaji +gharama ya kusafirisha tu ulipo hapo kwa guniaungechambua na gharam za izo tozo tufahamu
Hizi kazi zina wenyewe huwezi kukurupuka utakufa na pressureHabari zenu wapiganaji, nina kibali cha kuandaa Mkaa kutoka shambani kwangu gunia 700, mm naziuza kwa kila gunia shilingi 10,000 kutokea shambani. Gharama za usafirishaji ni juu yako pamoja na tozo ya TFS. Vibali vyote ninavyo. Anayehitaji aje Inbox tuongee. Njoo na Gunia zako upime mwenyewe, lori linafika hadi pori na miti ni ya asili yenye mkaa mzuri.
Karibuni
sasa izo gharama zngne mbona ujaweka bei zake..?10,000+12500 ya TFs +gharama ya upakiaji + gharama za kujaza kama halijajazwa + gharama ya viroba +gharama ya upakiaji +gharama ya kusafirisha tu ulipo hapo kwa gunia
Ukiona hivyo ujue hata yeye hajui Bei zakesasa izo gharama zngne mbona ujaweka bei zake..?
Gharama za kushusha na kupandisha ni mia 5 kwa gunia, kujaza ni kazi ya wachomaji...viroba 600 kwa kimojaUkiona hivyo ujue hata yeye hajui Bei zake
daaah nmepamiss mlele jamaan!Katavi- Mlele(Inyonga town)
Za kuelewana hizoUkiona hivyo ujue hata yeye hajui Bei zake
Naona umeamua kumkatisha tamaa mambo online saiv madalali hawatakiwiHizi kazi zina wenyewe huwezi kukurupuka utakufa na pressure