Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Duh hiyo wilaya nimefika huko kwa kweli huko ni mbali balaaaKatavi- Mlele(Inyonga town)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hiyo wilaya nimefika huko kwa kweli huko ni mbali balaaaKatavi- Mlele(Inyonga town)
Hahaaaa!!!yaani ukiwa hujawahi kufika huko, ukivuka pale IPOLE, tu unaweza hisi labda huko uendako hakuna watu wanaishi kabisa!! Kwani sio kwa mapori yaleedaaah nmepamiss mlele jamaan!
Dodoma sehemu gani?Hapo gharama halisi haipungui 28000 kwa gunia kama inalipa kanunue akati dodoma gunia 18000
Naiomba hiyo connection ya Dodoma. Namba ya simu ya muuzaji wa hiyo 18,000/-Hapo gharama halisi haipungui 28000 kwa gunia kama inalipa kanunue akati dodoma gunia 18000
Muongo huyo kama ni kweli alete hapa namba ya muuzaji wa huo mkaaaana kuna wengine wako serious wanataka kufanya hii biashara kweli atakuwa ametusaidia.Naiomba hiyo connection ya Dodoma. Namba ya simu ya muuzaji wa hiyo 18,000/-