Nauza Mkaa Gunia 700 kwa shilingi 10,000 kwa kila Gunia

Nauza Mkaa Gunia 700 kwa shilingi 10,000 kwa kila Gunia

Naiomba hiyo connection ya Dodoma. Namba ya simu ya muuzaji wa hiyo 18,000/-
Muongo huyo kama ni kweli alete hapa namba ya muuzaji wa huo mkaaaana kuna wengine wako serious wanataka kufanya hii biashara kweli atakuwa ametusaidia.
 
Back
Top Bottom