bobby_Barbosa_9
JF-Expert Member
- Jul 29, 2019
- 631
- 1,268
Kuna Maeneo Wanalima Wa KumwAgiliaMkuu mpunga mwaka huu hakuna,mvua zimegoma subirsubir upige hela mkuu.
Sawa kiongozi tumekupata,naomba kuuliza Gunia moja la mpunga ukikoboa unapata kiasi gani plz naomba kujuaNina gunia elfu moja za mpunga.
Zenye ujazo wa debe 7, asilimia kubwa ya mpunga huo ni kalamata.
Bei ya gunia ni laki moja na elfu kumi. (110,000/=)
Eneo ni Tabora mjini.
Namba ya simu. 0686225633
Karibu
65+kgSawa kiongozi tumekupata,naomba kuuliza Gunia moja la mpunga ukikoboa unapata kiasi gani plz naomba kujua
Uko sahihi japo muda mwingine bei kupanda na kushuka huwa Kuna factor nyingine ndogo ndogo. Ila hopefully bei itapanda. ShukraniMkuu mpunga mwaka huu hakuna,mvua zimegoma subirsubir upige hela mkuu.
Uko sahihi, ndio maana bei nayo imechangamkaMpunga nao umefikia mpaka kuutangaza humu wakati najua hiyo ni mali haswa
AhsanteAll the Best
Vumilia kidogo mwaka huu mvua zimechele
Yote mawili mkuu, kununua na kulima but nyingi zimenunuliwaMkuu hizo gunia ulinunua ama umezipata kwenye kilimo, na kama ni kilimo ulilima heka ngapi?
Nyinggi Kalamata, zingine ni mchanganyiko sio?Yote mawili mkuu, kununua na kulima but nyingi zimenunuliwa
Nyinggi Kalamata, zingine ni mchanganyiko sio?
Za kununua zimetengwa au kuchanganywa , kwa maana ya kupiga bwiwi au chepe?