INAUZWA Nauza Mziki wa Club

INAUZWA Nauza Mziki wa Club

Huwenda kaambiwa JF imekaliwa na matajiri hivyo anajaribu bahati yake Extrovert embu chukua mziki ukapige disco vumbi kongwa najua huwezi kosa pesa za bure kutoka kwa wagogo
Boss hiyo ndio gharama ya mziki kama huo. Tena Unafika milioni 55, kuagiza na kufika tanzania. Wanaoelewa. Hawawezi ongea kama wewe.
 
Huwenda kaambiwa JF imekaliwa na matajiri hivyo anajaribu bahati yake Extrovert embu chukua mziki ukapige disco vumbi kongwa najua huwezi kosa pesa za bure kutoka kwa wagogo
Hahahahah kwahio pesa naweza kuwa na mziki wa kueleweka Zaidi kama PA
 
Back
Top Bottom