Brother Jof
Senior Member
- Nov 5, 2018
- 114
- 153
Weka maelezo ya kueleweka mkuuHabar wakuu.
Tafadhari rejea kichwa hapo juu. Baada ya kukaa benchi mda kidogo bila ajira niliamua kujichanga mm na rafiki yangu kufungua biashara ya laptops za vifaa vya simu, Mungu akasaidia baada ya siku chache tena nimepata kazi sehem yenye mkataba mzuri hivyo nafaulisha share zangu za biashara sababu mda wangu wa kazi unanibana pia kusimamia biashara hiyo ,Na nimekosa msimamiz mzuri. Duka lipo Kariakoo Dar, Nahitahitaji 3.5Milioni pekee
Karibu DM kama unahitaji
Saf umeuliza vzrWeka maelezo ya kueleweka mkuu
Unafaulisha mzigo au unafaulisha na share?
Kodi ikoje?
Mna vibali au ndo mnauzia store?
Maana huo mtaji kwa biashara tena kkoo ni kiduchu mno
Tushawishi pls kwa maelezo yalonyooka
Sisi wote sio wakaaji sana ,nayeye pia ana ofisi nyingineKwa nn usimuachie huyo rafiki yako ambaye mpo partnership?
Yenye specifications gani mkuuPc kali napata kwa ngapi
Nimeweka dokezo ,Maelezo ni mengi ndio maana nimesema kwa alie na uhitaji anicheck dm nimpe full details. Kuna documents zote ila kila mtu ana bidhaa zake hapo dukani na tunachanga rent na furniture na taxWeka maelezo ya kueleweka mkuu
Unafaulisha mzigo au unafaulisha na share?
Kodi ikoje?
Mna vibali au ndo mnauzia store?
Maana huo mtaji kwa biashara tena kkoo ni kiduchu mno
Tushawishi pls kwa maelezo yalonyooka
Nimeshajibu hapo juu mtu ambaye yuko serious anahitaji tufanye biashara atanichek DM nimuelezee kiundani afike aone tukubaliane akiwa anaiona ofisiTaja mali zako unazomiliki hapo na thamani yake, unaweza taka 3.5m halafu mali ya laki 8
Umeshauza?Habar wakuu,
Tafadhari rejea kichwa hapo juu. Baada ya kukaa benchi mda kidogo bila ajira niliamua kujichanga mm na rafiki yangu kufungua biashara ya laptops za vifaa vya simu, Mungu akasaidia baada ya siku chache tena nimepata kazi sehemu yenye mkataba mzuri hivyo nafaulisha share zangu za biashara sababu muda wangu wa kazi unanibana pia kusimamia biashara hiyo na nimekosa msimamiz mzuri.
Duka lipo Kariakoo Dar, Nahitahitaji 3.5Milioni pekee.
Karibu kama unahitaji.
Umeshauza?
Nicheck dm namba yako nkupigieNipo Kipata hapa, asubuhi tuchekiane
Bado .nichek dm tuongeeUmeshauza?
Wapi picha biashara hii mbuzi kwenye guniaHabar wakuu,
Tafadhari rejea kichwa hapo juu. Baada ya kukaa benchi mda kidogo bila ajira niliamua kujichanga mm na rafiki yangu kufungua biashara ya laptops za vifaa vya simu, Mungu akasaidia baada ya siku chache tena nimepata kazi sehemu yenye mkataba mzuri hivyo nafaulisha share zangu za biashara sababu muda wangu wa kazi unanibana pia kusimamia biashara hiyo na nimekosa msimamiz mzuri.
Duka lipo Kariakoo Dar, Nahitahitaji 3.5Milioni pekee.
Karibu kama unahitaji.