Brother Jof
Senior Member
- Nov 5, 2018
- 114
- 153
Habar wakuu,
Tafadhari rejea kichwa hapo juu. Baada ya kukaa benchi mda kidogo bila ajira niliamua kujichanga mm na rafiki yangu kufungua biashara ya laptops za vifaa vya simu, Mungu akasaidia baada ya siku chache tena nimepata kazi sehemu yenye mkataba mzuri hivyo nafaulisha share zangu za biashara sababu muda wangu wa kazi unanibana pia kusimamia biashara hiyo na nimekosa msimamiz mzuri.
Duka lipo Kariakoo Dar, Nahitahitaji 3.5Milioni pekee.
Karibu kama unahitaji.
Tafadhari rejea kichwa hapo juu. Baada ya kukaa benchi mda kidogo bila ajira niliamua kujichanga mm na rafiki yangu kufungua biashara ya laptops za vifaa vya simu, Mungu akasaidia baada ya siku chache tena nimepata kazi sehemu yenye mkataba mzuri hivyo nafaulisha share zangu za biashara sababu muda wangu wa kazi unanibana pia kusimamia biashara hiyo na nimekosa msimamiz mzuri.
Duka lipo Kariakoo Dar, Nahitahitaji 3.5Milioni pekee.
Karibu kama unahitaji.