Nauza nguruwe watoto na wakubwa kwa wanaohitaji wa kufuga

Manguruwe ya kazi gani, nyamafu hizo.
Kwanza uchinjaji wake wa kifedhuli.
Waislamu, Wasabato na hata baadhi ya Wakatoliki hawali hii nyamafu
Ndugu si busara kutoa maneno kama haya katika tangazo la mwenzako. Tabia kama hizi ni sawasawa na Uchawi wa wazi tu. Labda hujawahi kuweka tangazo ukafanyiwa dhihaka kama hizi. We ukiona tangazo halikuhusu lala mbele.
 
Kama nguruwe ni nyamafu tusiseme?
 
Acha ussenge. Kama nguruwe ni nyamafu tusiseme?
Wacha Roho mbaya,
Mmeambiwa mle Nguruwe mkiwa na njaa.
Au unafiriki wengine hawana dhalula.

[emoji117]{ " 2: 173 - Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi.
Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe,
Mwenye kurehemu" }

Heshimu biashara ya wenzako.
 
 
Manguruwe ya kazi gani, nyamafu hizo.
Kwanza uchinjaji wake wa kifedhuli.
Waislamu, Wasabato na hata baadhi ya Wakatoliki hawali hii nyamafu
Umenitamanisha hii kitu adimu !
Jioni napita zangu Safari resort napata nusu kilo na bia tatu baridiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…