Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 307
- 182
Watoto wa miezi miwili nauza elfu 80Bei?
Hii ndiyo tamuuu ya Taifa kama ulikuwa hujui.Wote uliowataja wanatumia hii kitu.Manguruwe ya kazi gani, nyamafu hizo.
Kwanza uchinjaji wake wa kifedhuli.
Waislamu, Wasabato na hata baadhi ya Wakatoliki hawali hii nyamafu
Ndugu si busara kutoa maneno kama haya katika tangazo la mwenzako. Tabia kama hizi ni sawasawa na Uchawi wa wazi tu. Labda hujawahi kuweka tangazo ukafanyiwa dhihaka kama hizi. We ukiona tangazo halikuhusu lala mbele.Manguruwe ya kazi gani, nyamafu hizo.
Kwanza uchinjaji wake wa kifedhuli.
Waislamu, Wasabato na hata baadhi ya Wakatoliki hawali hii nyamafu
Kama nguruwe ni nyamafu tusiseme?Ndugu si busara kutoa maneno kama haya katika tangazo la mwenzako. Tabia kama hizi ni sawasawa na Uchawi wa wazi tu. Labda hujawahi kuweka tangazo ukafanyiwa dhihaka kama hizi. We ukiona tangazo halikuhusu lala mbele. Bora ukaushe tu si ustaarabu ni..... ******
Umefanya utafiti? Au umekaririshwa.?Kama nguruwe ni nyamafu tusiseme?
VyoteUmefanya utafiti? Au umekaririshwa.?
πππManguruwe ya kazi gani, nyamafu hizo.
Kwanza uchinjaji wake wa kifedhuli.
Waislamu, Wasabato na hata baadhi ya Wakatoliki hawali hii nyamafu
Wacha Roho mbaya,Acha ussenge. Kama nguruwe ni nyamafu tusiseme?
Niliwauza baadhi bado ninao wengine kwa wanaohitaji wanicheki tufanye biasharaMkuu uliwauza? Mrejesho
Siku hizi tunachinja kama kukuManguruwe ya kazi gani, nyamafu hizo.
Kwanza uchinjaji wake wa kifedhuli.
Waislamu, Wasabato na hata baadhi ya Wakatoliki hawali hii nyamafu
Sinai ni wapi nduguKazi nzuri mkuu peleka Sinai hapo
Sinai ni wapi ndugu
[/QUOTE
Kama inatoka Buzuruga ukipita mataa kuelekea Mjini/mabatini kilometa moja hapo kuna magereji ulizia hapo au ingia mkono wako wa kulia vilevile Kama inatoka vity centre ni almost 4km then ingia kulia au uliza kwa Wadau hapo yalipo machinjio/mauzo ya nguruwe utatimiza hitaji lako pale then unipe mrejesho
Umenitamanisha hii kitu adimu !Manguruwe ya kazi gani, nyamafu hizo.
Kwanza uchinjaji wake wa kifedhuli.
Waislamu, Wasabato na hata baadhi ya Wakatoliki hawali hii nyamafu