Inafanana kwa mbali na gari za usalamaHii hukamatwi popote kaka!
We 70 umeitoa wapi?Milioni 70 Gari namba C unaua mkuu.
Exactly ukipata Manual diesel ni balaa tupu. Inasepa balaa halafu halichagui barabara.Mgari kama huu inapendeza ukiwa manual
Exactly ukipata Manual diesel ni balaa tupu. Inasepa balaa halafu halichagui barabara.
Napenda zenye engine ya Td 42 ina mngurumo hivi kama simba
WW wameziharibu sana hizi nissan nyeupe.Abiria atajua katekwa[emoji1787]