Car4Sale Nauza Nissan Patrol GR 25M

Car4Sale Nauza Nissan Patrol GR 25M

Hapo kuna Trade in,

TD42: Muumgurumo mkubwa BUT haikimbii na ina umeme mdogo sana maana ni engine ya zamani so mafindi wanaipenda pia inakula sana mafuta (4000cc)

ZD30 : Haifikii muungurumo wa TD42 ila inakumbia haraka maana inakuja na Turbo yake pia inatumia mafuta kidogo kama Rav4 or Harrier tu. Na ina umeme mwingi zaidi maana ni Modern engine

So chaguo ni la mtumiaji, Binafsi nilitoa TD42 nikaweka ZD30
Mkuu gharama ya kuweka ZD30 ipoje
 
Hapo utaongeza 10M mkuu, au kama ni new model ni PM tuyajenge
Hiyo hapo ni chuma ya maana sana hutajuta
20211228_212434.jpg
 
Hiyo ndoa yako, akitokea mtu anakupa mil10 muachie akashinde nalo garage. Kwa maelezo yako ni kama umeshalifanyia overhaul.

Kweli ni gari ngumu lakini imeshafikia mwisho mwisho expiry date yake imefika.
 
Hiyo ndoa yako, akitokea mtu anakupa mil10 muachie akashinde nalo garage. Kwa maelezo yako ni kama umeshalifanyia overhaul.

Kweli ni gari ngumu lakini imeshafikia mwisho mwisho expiry date yake imefika.

Asante kwa ushauri Mzuri mkuu[emoji1488]
 
Kama shida yako ni gari ya juu uza hii gari nunua gari ya juu labda kama ni fundi sawa.
Nishaiuza hii nimeagiza SUV gari ya kupanda unatumbukia hapana kwa kweli imenishinda kabisa
 
Back
Top Bottom