nandengele
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 689
- 805
Mkuu gharama ya kuweka ZD30 ipojeHapo kuna Trade in,
TD42: Muumgurumo mkubwa BUT haikimbii na ina umeme mdogo sana maana ni engine ya zamani so mafindi wanaipenda pia inakula sana mafuta (4000cc)
ZD30 : Haifikii muungurumo wa TD42 ila inakumbia haraka maana inakuja na Turbo yake pia inatumia mafuta kidogo kama Rav4 or Harrier tu. Na ina umeme mwingi zaidi maana ni Modern engine
So chaguo ni la mtumiaji, Binafsi nilitoa TD42 nikaweka ZD30
Boss Tubadilishane na Crown Athlete DW katika hali yake nzuri and it runs greatMake Nissan Patrol GR
Year 2001
Mileage 138,000km
AUTOMATIC
Engine ZD30 (New)
Full AC, Serviced, New tyres
No faults.
7 Seats (Leather)
0716 777 300
Haina Dalali
View attachment 2121357
View attachment 2121358
View attachment 2121359
View attachment 2121360
View attachment 2121361
View attachment 2121362
View attachment 2121363
View attachment 2121364
View attachment 2121365
Hiyo hapo ni chuma ya maana sana hutajutaHapo utaongeza 10M mkuu, au kama ni new model ni PM tuyajenge
Kama shida yako ni gari ya juu uza hii gari nunua gari ya juu labda kama ni fundi sawa.Hiyo hapo ni chuma ya maana sana hutajuta View attachment 2124263
Nishaiuza hii nimeagiza SUV gari ya kupanda unatumbukia hapana kwa kweli imenishinda kabisaKama shida yako ni gari ya juu uza hii gari nunua gari ya juu labda kama ni fundi sawa.
Bora umeagiza nikajua umevunja na hiyo NP.Nishaiuza hii nimeagiza SUV gari ya kupanda unatumbukia hapana kwa kweli imenishinda kabisa
Mwana alikataaBora umeagiza nikajua umevunja na hiyo NP.