House4Sale Nauza nyumba IPO Dododoma mjini .bei million 18

Isije Ikawa kama jamaa yule wa majumba sita pale airport DSM. Yeye anafanya kazi TANROAD alijua nyumba zake zitabobomolewa kabla taarifa hazijaifikia jamii miaka michache nyuma. Akaziuza zote pale maeneo ya relini kama unaenda kinyerezi. Kisha yeye akaenda kujenga kinyerezi anakaa Huku anasubiri bomu lilipuke. Sasa aliowauzia wote zitabobolewa. Wiki iliyopita eti wanaandamana kwenda nyumbani kwa jamaa ili wapate haki zao. Sijui kama walimkuta.
 
kwa dodoma sasa hivi hiyo ni bei ya kiwanja, tena ni nzuguni nane nane huko ndipo uwanja mkubwa mpira unajengwa hivi karibuni. swali ni kwamba kimepimwa?
 
Mkuu Jomanju yan kuachana tu na yule demu wa form three umeamua uuze na NYUMBA?.Afu ona sasa unauza kila kitu mpaka Dining Table,utasomea nini masomo yako ya VETA?
hujui kama una sap kule UFUNDI TANGA?
 
Hiyo bei uliyotaja nakujengea nyumba zaidi ya hiyo na unabaki na chenji kama milioni nne hivi
 
[emoji28] [emoji28] duuh haki na walishafanya biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…